Thursday, May 26, 2011

UMEONA KASRI HILO?

SI MCHEZO!

Nafikiri bia itakuwa inapita vizuri sana!

SI HEINEKEN WALA SERENGETI ZOTE ZITAPANDA TU!

Kwa wanaopenda mi...................................!

Hapo vipi?

Unajua ulinzi pia ni ubunifu,unasemaje hapo?

HAYA KAMA UNAWEZA KATA MKANDA KABISA,KWA WALE WENYE SIMU ZA BEI MBAYA HII INAWEZA KUWA IDEA NZURI KBSA!

Cheki uso wa mbuzi huo!

kazi ipo!

Kweli mpira footbali kazi!

Mpaka kufuli limetoka!kadhi kwelikweli1

Zamani hizo,alikuwepo na huyo!

Dinosors

Kama kawaida,pamoja na saisa zetu lakini TZ ni yetu sote!

ccm vs cdm!