Tuesday, July 31, 2012

Hii imekaa vipi?

He!
 Mh hii kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Jengo hili ni klboko ya Magaidi!

Cheka kidogo halafu Huzunika kidogo!

Mambo ya Siasa,kwe;i watu wameichoka CCM
 Elimu ya Bureeeeeeeeeeee!
 Hhuyu refa vipi?
Mambo ya kizazi cha DOT COM!

Siku ya wanajeshi wanamaji wa RUSIA!







Haya ndio mazingira ya walimu,na hizi ndio shule wanazosoma!






Walimu wana hiari ya kugoma au kuendelea kufundisha!