Saturday, February 25, 2012

Unakumbuka mambo ya babu wa loliondo?angalia hapa!

 Babu alipoanza kazi,
 Taratibu waliojibinafsisha nchi yetu nao wakaanza kwenda.
 Si unaona full adabu,hata mlingotini nahisi wanakuwa na adabu kama hii.
 Unaona hapa,mpaka tyson na mkono ndani.
 Hata ukiwa na bunduki,babu alikuwa haangalii ni kikombe tu.
Cheki alivyovijaza,nasikia hata wazee wenyewe wali tia timu,Babuuuuuuuuuuuuuuuuuu!

Jk kaaamua kuhamia kwenye gwanda rasmi,nape ajifunze mapema.

 Cheki JK jinsi alivyoanza kutamani kuvaa gwanda la Chadema,hapo yuko na Tund Lisu.
 Jk na Slaa wakifanya harambee ya CCBRT

 Na hapa kama anamwambia gwanda limekupendeza saaaaana.
 Hapa wali match full black,
Duh hapa kaaamua kuvaa gwanda kabisa!