Wednesday, April 18, 2012

Duh hivi huu mkutano ni CCM au CUF!

Na hizo kanga za mezani nazo!anyway ndio mambo ya muafaka haya!

Hivi ni kweli waafrika ni kama derived quantity na sio fundamental kama watu weupe?

Kazi ipo!

Duh,bakora hazikutembea kweli hapa!

Balaa kwelikweli.

Mambo ya facebook hayo!

Network inapatikana juu ya mnazi,kazi ipo!

Mikao ya kupiga picha kutoka china!

 Hapo mguu umepinda kidogo!
 Pozi la kulala hilo!
 Hapo sijui amechuchumaa au ameinama.
Hapo anajiandaa kutoa mawashi ya kupiga picha.

Kazi ni kazi,bora mkono uende kinywani!

Jamaa anaweza kula anakonda au anaonea vinyoka vidogovidogo?