Saturday, February 25, 2012

Unakumbuka mambo ya babu wa loliondo?angalia hapa!

 Babu alipoanza kazi,
 Taratibu waliojibinafsisha nchi yetu nao wakaanza kwenda.
 Si unaona full adabu,hata mlingotini nahisi wanakuwa na adabu kama hii.
 Unaona hapa,mpaka tyson na mkono ndani.
 Hata ukiwa na bunduki,babu alikuwa haangalii ni kikombe tu.
Cheki alivyovijaza,nasikia hata wazee wenyewe wali tia timu,Babuuuuuuuuuuuuuuuuuu!

No comments:

Post a Comment